
YANGA HAOOO MDOGO MDOGO MWANANGU KAMA URENO.. KIMAHESABU YANGA KAFUZU KOMBE LA SHIRIKISHO, IKO HIVI:
26 JULY, namfuata Medeama pale pale kwake Ghana namtandika, naondoka na point zangu 3..
12 AUGUST, Bejaia anakuja Taifa namtandika nabaki na point zangu 3..
23 AUGUST naondoka zangu namfuata Tp Mazembe pale pale Lubumbashi namkung'uta yule then naondoka na point zangu 3..
3 za Ghana, 3 za Taifa, 3 za Lubumbashi unahesabu lakini..?? ongeza 1 ya leo =points 10 halafu naenda zangu UTURUKI wakati nikiwa nasubiri nimepangwa na nani hatua ya nusu fainali..
HUYU SHABIKI ANA NDOTO KALI BALAA...!!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni