Jumatano, Agosti 17, 2016

BALE AREJEA UWANJANI MADRID YAPIGA 5



Winga wa Real Madrid ya Hispania, Gareth Bale akiwatoka wachezaji wa Stade-Reims katika mchezo wa kirafiki wa mwisho wa kujiandaa na msimu mpya wa La Liga. Real Madrid imeshinda 5-3 Uwanja wa Santiago Bernabeu mabao yake yakifungwa na Nacho, Sergio Ramos, Alvaro Morata, James Rodriguez na Mariano Diaz.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni