Jumatano, Agosti 03, 2016

JEZI MPYA ZA SIMBA 2016/2017 HIZI HAPA



Klabu ya Simba yenye makao yake mtaa wa Msimbazi leo kupitia ukurasa wake wa facebook umeonyesha uzi au jezi zitakazotumika msimu ujao.

Jezi hizo zitaanza kuuzwa rasmi kuanzia tarehe 8 August siku ya adhimisho la miaka 80 "SIMBA DAY" ambapo miamba hao wa Soka Tanzania watacheza na timu ya AFC LEOPARDS ya Kenya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni