Alhamisi, Julai 28, 2016
Jumatano, Julai 27, 2016
ANGALIA KIKOSI CHA JUVENTUS KITAKAVYOKUWA KWA SASA BAADA YA HIGUAIN KUSAJILIWA, POGBA HAWAMHITAJI TENA
NAMNA AMBAVYO YANGA WANAWEZA KUSONGA MBELE KATIKA KOMBE LA SHIRIKISHO

Baada ya TP Mazembe leo kuifunga MO Bejaia
bao 1-0, msimamo wa kundi unakuwa kama
ifuatavyo : -
1. TP Mazembe 10
2. Mo Bejaia 5
3. Medeama 5
4. Young Africans 1
Mechi zijazo ni
- Young Africans vs MO Bejaia (Taifa)
- TP Mazembe vs Medeama (Ghana)
Young Africans AMFUNGE MO Bejaia Taifa,
Mazembe amfunge Medeama. Msimamo
unakuwa hivi . . .
1. TP Mazembe 13
2. Mo Bejaia 5
3. Medeama 5
4. Young Africans 4
Mechi za mwisho
- MO Bejaia vs Medeama
- TP Mazembe vs Young Africans
Young Africans AMFUNGE TP Mazembe, MO
Bejaia vs Medeama isitoe mshindi
Msimamo WA MWISHO unakuwa hivi . . .
1. TP Mazembe 13
2. Young Africans 7
3. Mo Bejaia 6
4. Medeama 6
Hapo ndipo maajabu ya soka unaweza kuyaombea...!
GUDIOLA KUWATOSA MAZOEZINI WACHEZAJI TIPWATIPWA

Kocha wa Man City Pep Gudiola amewachimba mkwara wachezaji wa kikosi chake watakaoonekana kuongezeka uzito kupita kiasi kuwa hawatofanya mazoezi na kikosi chake.
Gudiola ambaye ni muumini wa soka la pasi nyingi awali alilifanya hilo akiwa na vikosi vya F.C Barcelona na Bayern Munchen ambako alijizolea sifa kwa kunyakua mataji.
Kwa mujibu wa Gudiola yeye anaamini kabisa kuwa mchezaji mwenye uzito mkubwa hawezi kutimiza majukumu yake uwanjani kama anavyohitaji kocha.
Inasemekana kuna baadhi ya wachezaji (hawakutajwa) wamekuwa wakijiachia sana katika ulaji wa vyakula hasa vile vyenye sifa za kuongeza uzito vijulikanavyo kitaalamu kama "junk foods". Mmoja wa wachezaji aliyezungumzia suala hilo la wachezaji kuwa wazito ni beki wa Man City raia wa Ufaransa Gael Clich.
RATIBA YA VPL 2016/17, YANGA vs SIMBA OCTOBER 1.

RATIBA YA LIGI KUU BARA 2016/17
AGOSTI 17, 2016
NGAO YA JAMII
Yanga vs Azam Taifa
Agosti 20, 2016
Kagera Sugar vs Mbeya City Kaitaba
Simba vs Ndanda FC Taifa
Toto Africans vs Mwadui FC Kirumba
Stand United vs Mbao FC Kambarage
Mtibwa Sugar vs Ruvu Shooting Manungu
Azam FC vs Africans Lyon Azam Complex
Majimaji FC vs Prisons Majimaji
AGOSTI 21, 2016
SERENGETI BOYS VS AFRIKA KUSINI TAIFA
Agosti 27, 2016
Mbao FC vs Mwadui FC Kirumba
JKT Ruvu vs Simba Taifa
Kagera Sugar vs Stand United Kaitaba
Mtibwa Sugar vs Ndanda FC Manungu
Azam FC vs Majimaji FC Azam Complex
Prisons vs Ruvu Shooting Sokoine
Agosti 28, 2016
Yanga vs Africans Lyon Taifa
Toto Africans vs Mbeya City Kirumba
Agosti 31, 2016
Yanga vs JKT Ruvu Taifa
KUFUZU AFCON
SEPTEMBA 2, 2016
NIGERIA VS TANZANIA
Septemba 3, 2016
Mbao FC vs Mbeya City Kirumba
Kagera Sugar vs Mwadui FC Kaitaba
Majimaji FC vs Mtibwa Sugar Majimaji
Jkt ruvu vs Africans Lyon Mabatini
Septemba 4, 2016
Stand United vs Toto Africans Kambarage
Septemba 7, 2016
Simba vs Ruvu Shooting Taifa
Prisons vs Azam FC Sokoine
Ndanda vs Yanga Nangwanda
Septemba 11, 2016
Simba vs Mtibwa Sugar Taifa
Septemba 10, 2016
Mwadui FC vs Stand United Mwadui Complex
Mbeya City vs Azam FC Sokoine
Africans Lyon Vs Mbao FC Karume
Ndanda FC vs Kagera Sugar Nangwanda
Prisons vs Toto Africans Sokoine
Yanga vs Majimaji FC Taifa
Ruvu Shooting vs JKT Ruvu Mabatini
Septemba 17, 2016
Mwadui FC vs Yanga Kambarage
Mbeya City vs Prisons Sokoine
Mtibwa Sugar vs Kagera Sugar Manungu Complex
Azam FC vs Simba Taifa
Ruvu Shooting vs Mbao FC Mabatini
Majimaji FC vs Ndanda FC Majimaji
Septemba 18, 2016
Stand United vs JKT Ruvu Kambarage
Africans Lyon vs Toto Africans Karume
Septemba 24, 2016
JKT Ruvu vs Mbeya City Mabatini
Simba vs Majimaji FC Taifa
Ndanda FC vs Azam Fc Nangwanda
Prisons vs Mwadui Fc Sokoine
Mtibwa Sugar vs Mbao FC Manungu Complex
Septemba 25, 2016
Ruvu Shooting vs Toto Africans Mabatini
Stand United vs Yanga Kambarae
Africans Lyon vs Kagera Sugar Karume
Septemba 30, 2016
Toto Africans vs Ndanda FC Kirumba
Mbao FC vs JKT Ruvu Kirumba
Oktoba 1, 2016
Yanga vs Simba Taifa
Oktoba 2, 2016
Mbeya City vs Mwadui FC Sokoine
Majimaji FC vs Stand United Majimaji
Mtibwa Sugar vs Africans Lyon Manungu Complex
Kagera Sugar vs Prisons Kaitaba
Azam FC vs Ruvu Shooting Azam Complex
KALENDA YA FIFA
OKTOBA 3-11, 2016
Zitapangwa
Mwadui FC vs Azam FC Kirumba
Yanga vs Ruvu Shooting Taifa
Prisons vs Simba Sokoine
Oktoba 8, 2016
Mbeya City vs Stand United Sokoine
JKT Ruvu vs Mtibwa Sugar Mabatini
Kagera Sugar vs Toto Africans Kaitaba
Africans Lyon vs Ndanda FC Karume
Majimaji Fc vs Mbao FC Majimaji
Oktoba 12, 2016
Mbeya City vs Simba Sokoine
Mwadui FC vs Africans Lyon Mwadui Complex
Mbao FC vs Toto Africans Kirumba
Majimaji FC vs Kagera Sugar Majimaji
Yanga vs Mtibwa Sugar Taifa
Stand United vs Azam FC Kambarage
JKT ruvu vs Prisons Mabatini
Oktoba 13, 2016
Ruvu shooting vs Ndanda FC Mabatini
Oktoba 15, 2016
Simba vs Kagera Sugar Taifa
JKT Ruvu vs Mwadui FC Mabatini
Stand United vs Africans Lyon Kambarage
Mtibwa Sugar vs Prisons Manungu Complex
Toto Africans vs Majimaji FC Kirumba
Oktoba 16, 2016
Azam FC vs Yanga Taifa
Ruvu Shooting vs Mbeya City Mabatini
Mbao FC vs Ndanda FC Kirumba
Oktoba 19, 2016
Ruvu shooting vs Mwadui FC Mabatini
Azam FC vs Mtibwa Sugar Azam Complex
Ndanda FC vs Mbeya City Nangwanda
Prisons vs Stand United Sokoine
Toto Africans vs Yanga Kirumba
Africans Lyon vs Majimaji FC Karume
Oktoba 20, 2016
Simba vs Mbao FC Taifa
Jkt ruvu vs Kagera Sugar Mabatini
Oktoba 22, 2016
Africans Lyon vs Mbeya City Karume
Ndanda FC vs Mwadui Fc Nangwanda
Mtibwa Sugar vs Stand United Manungu
Kagera Sugar vs Yanga Kaitaba
Azam FC vs JKT Ruvu Azam Complex
Majimaji Fc vs Ruvu Shooting majimaji
Prisons vs Mbao FC Sokoine
Oktoba 23, 2016
Simba vs Toto Africans Taifa
Oktoba 29, 2016
Kagera Sugar vs Azam FC Kaitaba
Mbeya City vs Majimaji FC Sokoine
Mwadui fc vs Simba Mwadui Complex
Yanga vs Mbao FC Taifa
Toto Africans vs Mtibwa Sugar Kirumba
Jkt ruvu vs Ndanda Fc Mabatini
Oktoba 30, 2016
Ruvu Shooting vs Stand United Mabatini
Africans Lyon vs Prisons Karume
Novemba 2, 2016
Toto Africans vs Azam FC kirumba
Stand United vs Simba kambarage
Mbeya City vs Yanga sokoine
Ndanda FC vs prisons Nangwanda
Ruvu Shooting vs Africans Lyon Mabatini
Majimaji FC vs JKT Ruvu Majimaji
YANGA WALALAMIKIA FITINA GHANA
Jana,
Jumanne timu ya Yanga ilishuka uwanjani kupambana na Medeama katika
mchezo wa marudiano wa Kombe la Shirikisho Afrika uliofanyika kwenye
Uwanja wa Essipong Sports mjini Sekondi nchini Ghana.
Hata
hivyo, wachezaji baadhi wa Yanga wameipigia saluti Medeama kwa fitna
kabambe ilizowafanyia wakati walipotua Ghana kwa ajili ya mchezo huo
ambazo zilifanya waingiwe na hofu kubwa ya kutekwa walipokuwa njiani
wakitokea Accra kwenda Sekondi.
Wakizungumza
na Championi Jumatano kwa nyakati tofauti wachezaji hao ambao ni, kipa
Deogratius Munishi na mshambuliaji wa timu hiyo, Mrundi, Amissi Tambwe
walidai kuwa baada ya kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Accra, ilikuwa ni usiku na walijua kutoka hapo kwenda Sekondi wangepewa
ulinzi kutokana na umbali ambao wangesafiri kwa basi.
“Hata
hivyo, hali haikuwa kama tulivyotarajia, tulisafiri usiku huo kwa basi
tena kwa zaidi ya saa tano bila ya kuwa na ulinzi wa aina yoyote, hakika
kila mtu ndani ya basi alikuwa akimwomba Mungu kila tulipokuwa
tukifikiria hali ya usalama katika mataifa haya ya Magharibi.
“Akili
zetu zilitawaliwa na hofu kubwa kwani tulikuwa tukipita sehemu nyingine
zilikuwa ni mapori, hata hivyo hofu hiyo ilishuka baada ya kufika
Sekondi na ndipo tulipoanza kutaniana huku baadhi yetu tukiona hali hiyo
kama bonge la fitina ambalo wapinzani wetu walitufanyia kwa sababu
walituvuruga kwa kiwango kikubwa,” alisema Dida.
Kwa
upande wa Tambwe alisema: “Ilikuwa ni balaa tulifika tumechoka sana na
hakuna mtu aliyekuwa akiamini kama tutafika salama Sekondi kutoka Accra
ila tunamshukuru Mungu kwa hilo ila jamaa nimewakubali kwa fitna hiyo ya
soka."
SOURCE: CHAMPIONI
PRISON KUIVUA YANGA UBINGWA...!
Kama
wanatania, lakini Prisons wapo ‘siriaz’ baada ya kocha wao, Abdul
Mingange kutamka wazi kuwa malengo yao kwa msimu ujao wa Ligi Kuu Bara
ni kuwa mabingwa na si kingine.
Mingange
amepewa mkataba wa miezi sita ya kuinoa timu hiyo akichukua nafasi ya
Salum Mayanga aliyetimkia Mtibwa Sugar. Msimu uliopita timu hiyo
ilimaliza ligi ikiwa ya nne huku Yanga wakifanikiwa kutwaa ubingwa wa
ligi hiyo.
Mingange
alisema kila timu huwa na malengo ya kumaliza msimu ikiwa bingwa, hivyo
hata wao wana malengo hayo na wanaamini watafanikiwa kwa hilo.
“Tupo
kwenye maandalizi makali kuhakikisha tunafanya vizuri msimu ujao,
malengo yetu ni kuwa mabingwa kwani kama timu msimu uliopita ilimaliza
nafasi ya nne basi msimu ujao tunaweza kuwa mabingwa.
“Hayo
ni malengo kwa kila timu na ndiyo maana sisi pia tumejiwekea hivyo,
lakini pia nishukuru tu nimekuta kikosi kwenye hali nzuri na kwa hapa
kilivyo sina haja tena ya kuongeza mchezaji, waliopo wanatosha kuipa
timu ubingwa,” alisema Mingange ambaye aliwahi kuzinoa Mbeya City na
Ndanda kwa vipindi tofauti
Jumanne, Julai 26, 2016
HAWAJAWAHI KUSHINDA TANGU WAANZE KUVAA JEZI ZA MANJI

Timu ya Yanga leo imepokea kipigo kitakatifu nchini Ghana kutoka kwa timu ya Medeama Sc baada ya kufungwa goli 3 - 1
Yanga ilipata bao la kufutia machozi kwa njia ya penati iliyopigwa kiufundi na Saimon Msuva.
Ikumbukwe kuwa Yanga tangu imeanza kutumia jezi zenye nembo ya QUALITY GROUP haijawahi kushinda mechi yoyote. Imecheza mechi nne imefungwa mechi tatu na kutoka sare mchezo mmoja.

Tarehe 17 August ni mechi ya ngao ya Jamii kati ya Yanga na Azam, tuwasubiri Yanga watakavyotesa katika mashindano ya hapa Tanzania!
MEDEAMA vs YANGA: KIKOSI CHA YANGA HIKI HAPA

Benchi la ufundi la mabingwa wa Tanzania bara klabu ya Yanga, tayari limeachia majina ya wachezaji ambao wataiwakilisha klabu hiyo kwenye mchezo wake wa marudiano dhidi ya Medeama utakaochezwa Ghana saa chache zijazo.
Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 9:00 alasiri kwa saa za Ghana sawa na saa 12:00 kwa saa za Afrika Mashariki.
Jumatatu, Julai 25, 2016
Jumapili, Julai 24, 2016
Muonekano Mpya wa Lionel Messi

Katika kujiandaa na msimu mpya wa ligi, kila mchezaji huja na staili yake ikiwemo ushangiliaji, kuweka maneno kwenye fulana za ndani, unyoaji wa nywele n.k.
Katika kunogesha hilo, mwanasoka anayeshikilia rekodi ya Dunia, M-Argentina Lionel Messi Lapuga amekuja na muonekano mpya wa nywele kwake, mtindo huo umefananishwa na muonekano wa baadhi ya wachezaji waliowahi kuufanya wakiwemo Phil Jones wa Man U, Samir Nasri wa Man City na Aaron Ramsey wa Arsenal.
Angalia hii picha hapa chini jinsi staili hiyo ilivyofanana na hao waliotajwa hapo juu

Ijumaa, Julai 22, 2016
ANGALIA NICKNAMES ZA WACHEZAJI WA YANGA

Juma Pondamali"Mensah"
Deogratius Munish"Dida"
Ally Mustafa"Barthez"
Silvanus Ibrahimu"polisi"
Mohamed Abdulkadir"Tash"
Mohamedi Abubakari"phanton"
Hamisi Yusuph"Waziri wa ulinzi"
Nadir Haroub"Canavaro"
Kelvin Yondan"cotton"
Method Mogela"fundi"
Mtwa kiwelu"Dali kimoko"
Nonda Shaban"papii"
Godwin Aswile"Scania
Yusuf Macho"Musso"
Shadrack Nsajigwa"fusso"
Haruna Niyonzima"fabrigas"
Makumbi Juma"Homa ya jiji"
Fred Minziro"katalaiya Majeshi"
Sunday Manara"Computer"
Kitwana Manara"popat"
Omary Hussein"keegan"
Abdi Kassimu"Babi"
Bakari Malima"Jembe ulaya"
Said Mwamba"kizota"
James Tungaraza"Boll Zozo"
Abubakar Salumu"Sure boy"
Waziri Mahadhi"Mandieta"
Mohamedi Hussein"Mmachinga"
Abuu Ramadhan"Amokach"
Juma Mkambi"jenerali"
Salvatory Erdwad"doctor
Sanifu Lazaro"tingisha"
Maalimu Saleh"romario"
Ally Yusuf"tigana"
Idd Moshi"Mnyamwezi"bwana harusi"
Said Sued"Scud"
Salumu kabunda"Ninja"
Zamoyoni Mogela"DHL"
Hassan Isihaka"chuku"
Frank omayo"chumvi"
Hamisi Kiiza"diego"
Amisi Tambwe"magoli"
Mrisho Ngassa" anko"
Tomasi kipese uncle Tom"
Said Maulidi"SMG"
paul John"masanja"
Hamisi Gaga"gagarino"
Vincent Bossou "kaka jambazi"
Alhamisi, Julai 21, 2016
YANGA KUKWEA PIPA JUMAMOSI

Timu ya Young Africans itaondoka nchini kuelekea Ghana siku ya Jumamosi saa 1 asubuhi na ndege ya Kenya Airways.
Yanga inakwenda kucheza na Medeama mapema wiki ijayo kwa ajili ya kujaribu kujiweka pazuri kutokana kuharibu mechi karibu zote ilizocheza katika hatua hiyo
Msafara utakuwa wa watu 30 (Wachezaji 21 na viongozi 9)
TETESI ZA USAJILI ULAYA LEO 21 JULY 2016

Meneja wa zamani wa Manchester United na Everton David Moyes atachukua nafasi ya Sam Allardyce Sunderland (Sun), Sunderland, ambao wanatafuta meneja wa saba katika kipindi cha miaka mitano wapo katika mazungumzo na Moyes, 53, ambaye alifukuzwa kazi Real Sociedad mwezi Novemba (Guardian)
Juventus wamekubali ombi la Paul Pogba, 23, kujiunga na Manchester United na timu hizo mbili zimekubaliana ada ya uhamisho ya pauni milioni 100 (L'Equipe), Manchester United wamekubaliana maslahi binafsi na Pogba, ambaye atasaini mkataba wa miaka mitano kwa mshahara wa pauni 220,000 kwa wiki baada ya makato ya kodi (Daily Mail), Manchester United watamlipa wakala wa Pogba, Mino Raiola, pauni milioni 18.4 kukamilisha uhamisho huo (Guardian), Manchester United pia wanatarajiwa kumsajili winga wa Brentford Joshua Bohui, 17, ambaye atasaini mkataba wa miaka mitatu (Manchester Evening News)
Manchester City wanakaribia kukamilisha usajili wa mshambuliaji wa Schalke, Leroy Sane, 20, kwa pauni milioni 42, na kwa mshahara wa pauni 100,000 kwa wiki katika mkataba wa miaka mitano (Sun), Pep Guardiola pia anataka kumsajili kiungo wa Real Madrid Toni Kross, 26.
Chelsea wamekataa dau la pauni milioni 14.25 kutoka Borussia Monchengladbach la kumtaka beki Andreas Christensen, 20, ambaye anaichezea klabu hiyo ya Ujerumani kwa mkopo (Daily Mail), wakati huohuo Chelsea wanaamini wamefanikiwa kumzuia Diego Costa, 27, asiondoke, licha ya jitihada za Atletico Madrid kumtaka. Chelsea pia huenda wakamfuatilia beki wa Benfica Victor Lindelof, 22 (Daily Star), meneja wa Chelsea Antonio Conte amesema huenda akapanda dau jingine kumtaka mshambuliaji Alvaro Morata, 23, baada ya Real Madrid kukataa dau la pauni milioni 62.7. Chelsea pia wanafikiria kumrejesha Romelu Lukaku, 23, kutoka Everton (Daily Mail)

Dau la Newcastle la pauni milioni 5.5 limekubaliwa na Blackburn la kumsajili beki wa kati Grant Hanley, 24 (Chronicle), wakati huohuo kiungo wa Newcastle Georginio Wijnaldum, 25, anakaribia kuhamia Liverpool kwa pauni milioni 25 (Sunderland Echo)
Arsenal nao wameingia katika mbio za kutaka kumsajili kiungo wa Newcastle Moussa Sissoko, 26 (TalkSport)
Swansea wametoa dau la zaidi ya pauni milioni 10 kumtaka kiungo wa Tottenham Nacer Chadli, 26 (Times), hata hivyo Spurs wanasema thamani ya Chadli ni pauni milioni 15 (Daily Mirror)
West Brom wameongeza dau kufikia pauni milioni 10 kumtaka beki wa Leicester Jeffrey Schlupp, 23, baada ya pauni milioni 9 kukataliwa (Birmingham Mail)
West Brom bado hawajajibu dau la pauni milioni 20 la Stoke kumtaka Saido Berahino, 22 (Sky Sports
PLUIJM AJIPIGILIA MIAKA MIWILI ZAIDI YANGA

Kocha bora wa msimu wa 2015/16 na mabingwa wa kihistoria wa Tanzania klabu ya Yanga, Mholanzi Hans Van der Pluijm amesaini mkataba mwingine wa miaka miwili wa kuendelea kukinoa kikosi cha mabingwa hao wa mara mbili mfululizo kwa misimu ya 2014/15 na 2015/16.
Ikumbukwe kuwa mkataba wa Mholanzi huyo ulimalizika mwezi uliopita na kutokana na timu hiyo kukabiliwa na michuano ya kimataifa ilibidi kusubiria tukio hilo la kusaini mkataba mpya.
Kocha huyo amekuwa na mafanikio makubwa na klabu hiyo ya Yanga na ameiwezesha kutwaa taji la ligi kuu mara mbili mfululizo na kuifikisha hatua ya robo fainali katika michuano ya Kombe la Shirikisho.
Jumatano, Julai 20, 2016
BAYERN MUNICH vs MAN CITY: USIKOSE MECHI HII LEO USIKU

Leo usiku saa 3.30 kwa saa za Afrika ya Mashariki kutakuwa na mpambano wa kukata na shoka baina ya miamba ya Ulaya kutokea Uingereza na Ujerumani.
Manchester City inayonolewa na Pep Gudiola itasafiri hadi katika viunga vya Allianze Arena mjini Munich Ujeremani kwa ajili ya kukipiga na Mabavarians timu ya zamani ya Gudiola.

Mchezo huo unaotegemewa kuwa mkali na kuna uwezekano mkubwa wakacheza vijana zaidi kwa kuwa wachezaji wengi wazoefu wapo mapumzikoni baada ya michuano ya Copa America na ile ya Euro iliyomalizika hivi karibuni.
HII HAPA RATIBA NZIMA YA EPL 2016/17
Premier League 2016/2017
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)